• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

UTEKELEZAJI AFUA ZA LISHE, MSINGI WA KUSHUSHA KIWANGO CHA UDUMAVU

Posted on: August 1st, 2022

Mkoa wa Kigoma ni miongoni mwa Mikoa yenye hali ya Hewa na Ardhi inayoruhusu uzalishaji wa mazao mbalimbali ya Chakula kinachoweza kutosheleza katika upatikananji wa mlo kamili na kusaidia kupunguza tatizo la utapiamlo katika Jamii.

Ukosefu au kutozingatia Elimu ya lishe bora kumeendelea  kusababisha tatizo la udumavu kwa watoto, utapiamlo wa kadri na mkali, uwepo wa watoto wanaozaliwa na uzito pungufu na uwepo wa wanawake wajawazito wenye lishe duni.

Matokeo ya Utafiti wa Taifa  wa Lishe uliofanyika Novemba 2018 umeonyesha uwepo wa udumavu kwa watoto walio chini ya miaka 5 kwa 42.3%, utapiamlo mkali 3.2%, utapiamlo wa kadri 4.7% watoto wanaozaliwa na uzito pungufu 5.6% na wanawake wajawazito wenye lishe duni 6.7%.

Utekelezaji wa Afua za lishe umeendelea kufanyika mkoani Kigoma ukiwa na lengo la kuijengea uwezo jamii na kuongeza ufahamu katika masuala ya Lishe na  kupunguza utapiamlo wa aina zote.  

Serikali kupitia Wizara  ya Afya na Wadau wa maendeleo wanaotekeleza Afua za Lishe wameeendelea kuhamasisha ulishaji wa watoto, kupunguza upungufu wa madini mwilini, kuzuia vifo vya watoto vitokanavyo na utapiamlo mkali, kusimamia na kutekeleza mipango mbalimbali katika kuikabili changamoto ya lishe.

Kwa kipindi cha Aprili hadi Juni 2022 Afua za lishe zimetekelezwa mkoani Kigoma ikiwa ni pamoja na kuhamasisha Elimu ya  Lishe, matibabu ya watoto wenye utapiamlo, utoaji wa vidonge vya kuongeza wekundu wa damu, kupima na kudhibiti udumavu, usanisi na ulishaji watoto wenye umri wa miezi 0 hadi 23 na utoaji wa matibabu ya magonjwa yasiyoambukiza.

Utekelezaji wa kazi hizo umeleta matokeo chanya katika jamii mbayo ni  kushuka kwa kiwango cha watoto wanaozaliwa na uzito pungufu na kufikia 3.5% na 3.6% ya upungufu wa damu kwa wajawazito katika  kipindi cha Aprili hadi Juni 2022.

Serikali imeendelea na mkakati wa kupunguza  tatizo la utapiamlo katika Mkoa kwa kutoa hamasa na elimu ya Lishe, uzalishaji na matumizi ya vyakula vinavojenga na kulinda mwili, Halmashauri zote kutenga shilling 1000 kwa mtoto ili kutekeleza shughuli za lishe na kuomba ufadhili katika kuendesha shughuli mbalimbali katika kuelimisha jamii kuhusu  lishe bora.

Iwapo wakazi watazingatia Elimu ya lishe na kuitekeleza kwa vitendo, tatizo la udumavu, utapiamlo na maradhi mengine yatokanayo na lishe duni yatapungua mkoa Kigoma na kusababisha uwepo wa jamii yenye  Afya bora.  

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa