• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

DKT. MPANGO ASHIRIKI IBADA YA KUAGA MWILI WA MAREHEMU MIDLASTER NSANZUGWANKO

Posted on: June 23rd, 2023

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango Asubuhi ya Leo Juni 23, 2023 amewasili mkoani Kigoma na kupokelewa na Mwenyeji wake Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Thobias Andengenye kisha kuelekea Mjini Kasulu amapo ameshiriki Ibada ya kumuombea Marehemu Midlaster Daniel Nsanzugwanko  iliyofanyika katika Kanisa la KKKT Mjini hapo.

Kupitia Salamu zake za pole, Mhe. Dkt.  Philip Mpango amesema kila mtu anapaswa kumheshimu Mungu na kuutambua utukufu wake bila kujali cheo, kazi au Mali alizonazo.

‘’Nilimfahamu Marehemu alipokuwa anasoma Chuo Kikuu Dar es Salaam, ambapo alikuwa ni mtu anayefahamu na kutekeleza vizuri kutekeleza wajibu wake wa kitaaluma’’ alisema Dkt. Mpango.

Makamu wa Rais amewaasa waombolezaji waliojitokeza na jamii kwa ujumla kujenga tabia ya kuweka pembeni tofauti zao za vyeo, siasa, dini na hata zile za kimitazamo na kuungana pamoja kwa ajili ya kuyakabili matatizo mbalimbali yanayojitokeza katika Jamiii ikiwemo misiba.

Marehemu Midlaster alikuwa Mke wa Daniel Nzanzugwanko aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo Kasulu Mjini.

MAKAMU WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHE. DKT. PHILIP  MPANGO AKITOA NENO LA FARAJA  KWA  WAFIWA  PAMOJA NA WAOMBOLEZAJI (HAWAPO PICHANI) WALIOJITOKEZA  KUSHIRIKI IBADA YA KUMUAGA MAREHEMU MIDLASTER DANIEL NSANZUGWANKOILIYOFANYIKA  KATIKA  KANISA LA  KIINJILI LA KILUTHERI TANZANIA LILILOPO  MJINI KASULU. 

DKT. PHILIP MPANGO AKISHUKA KWENYE NDEGE  MARA BAADA KUWASILI UWANJA WA NDENGE WA MKOA WA KIGOMA.

DKT. PHILIP MPANGO AKISALIMIANA NA  MWENYEJI WAKE KAMISHNA  MSTAAFU WA  JESHI LA  ZIMAMOTO NA  UOKOAJI MHE. THOBIAS ANDENGENYE MARA BAADA YA KUWASILI MKOANI KIGOMA.

MKUU WA  MKOA WA KIGOMA  MHE THOBIAS ANDENGENYE AKITOA SALAMU ZAKE ZA POLE KWA FANILIA YA DANIEL NSANZUGWANKO NA  WAOMBOLEZAJI WENGINE(HAWAPO PICHANI)

MAKAMU WA RAIS DKT. MPANGO AKIAGA MWILI WA MAREHEMU MIDLASTER DANIEL NSANZUGWANKO MARA BAADA YA IBADA YA MAOMBEZI KWA  MAREHEMU ILIYOFANYIKA KATIKA  KANISA  LA  KIINJILI LA  KILUTHERI TANZANIA  LILILOPO KASULU MJINI.



Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • RC ANDENGENYE AKABIDHI VITENGO VITENGO VYA LISHE MKOA NA WILAYA UVINZA

    May 09, 2025
  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa