• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

CCT KIGOMA WALAANI WAUMINI KUJIHUSISHA NA KAMCHAPE

Posted on: February 5th, 2024

Mwenyekiti wa Umoja wa Madhehebu ya Kikristo (CCT) Mkoa wa Kigoma Askofu Dkt. Sospeter Ndenza kwa niaba ya Umoja huo amesema kwa kauli moja wanalaani vitendo vya uwepo wa shughuli za wapiga ramli chonganishi maarufu Kamchape mkoni hapa kwani zinachangia kwa kiasi kikubwa kuvuruga Amani na utulivu kwa wakazi.

Tamko hilo limetolewa na kiongozi huyo wa jumuia hiyo leo Februari 5, 2024, mara baada ikiwa ni Tamko Rasmi la Umoja huo likilenga kuhamasisha waumini wa madhehebu wanayoyaongoza kutokwenda kinyume Imani zao za kidini kwa kujihusisha na Imani za kishirikina ikiwemo upigaji ramli.

‘’Tumekutana hapa na kujadili kwa kina suala hili la waumini wenu kujikita katika kuamini watu wanaoitwa Kamchape, jambo hili halikubaliki na kwa kauli moja tunalaani vitendo hivyo na tunawaonya waumini wa madhehebu ya kikristo kutojihusisha na vitendo hivyo’’ Amesema.

‘’Sisi madhehebu ya kikristo Kwa kauli moja hatukubaliani, hatuungi mkono na tumakemea kwa nguvu na tunaungana na serikali katika kupiga vita vitendo hivyo kuendelea kufanyika katika Jamii, na tunawakaribisha Polisi Jamii kupitia madhabahu za makanisa yetu ili wawasaidie wakristo kuelewa kuwa kushirikiana na wapiga ramli chonganishi ni kinyume na sharia za nchi’’ amesisitiza Askofu Sospeter Ndenza.

Aidha Askofu Ndenza amepiga marufuku waumini wa madhehebu yaliyo chini ya jumuia hiyo kushiriki katika shughuli zote zinazohusiana na Kamchape huku akisisitiza marufuku hiyo kwa wapiga ramli hao kusogelea nyumba za Ibada pamoja na viongozi wa dini.

Naye Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Thobias Andengenye amesema Serikali itanendelea kuchukua hatua kali dhidi ya watu wote watakaobainika kuvunja sharia kwa kujihusisha na Kamchape katika kuvunja Amani na kuharibu mali za watu wengine  ili kutekeleza makusudio ya kundi hilo.

Aidha ameitaka jamii kuchukua tahadhari  dhidi ya watu hao kwani ni matapeli na wanachokifanya ni kuulaghai Umma kisha kuwachukulia wanajamii fedha zao.

PICHA YA PAMOJA YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA (WA TATU KUTOKA KULIA) AKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA NA UONGOZI WA CCT KIGOMA, MARA BAADA BAADA YA KIKAO KILICHOFANYIKA KATIKA UKUMBI WA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA FEB 5,2024.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • RC ANDENGENYE AKABIDHI VITENGO VITENGO VYA LISHE MKOA NA WILAYA UVINZA

    May 09, 2025
  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa