• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

BODI YA PAROLE MKOA WA KIGOMA WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA UADILIFU

Posted on: August 29th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma CGF(Mst)  Thobias Andengenye( aliyekaa katikati) akiwa katika Picha ya pamoja  na Wajumbe wapya wa Bodi ya Parole Mkoa wa Kigoma mara baada ya uzinduzi wa Bodi hiyo.

Wakuu wa Magereza yaliyopo mkoani Kigoma wakiwa katika Picha ya pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, mara baada ya uzinduzi wa Bodi ya Parole ya Mkoa wa Kigoma uliofanyika katika Viunga vya Bangwe Beach leo Tarehe 29 Agosti 2022.


Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kamishna Mstaafu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mhe. Thobias Andengenye amewataka Wajumbe wa Bodi ya PAROLE mkoani hapa kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia Sheria na Taratibu zinazoingoza bodi hiyo  ili kutenda haki kwa wafungwa wanaostahili  kunufaika na msamaha ili kumalizia adhabu zao nje ya Magereza.

Kauli hiyo ya Mkuu huyo wa Mkoa imetolewa wakati wa Hafla fupi ya Uzinduzi wa Bodi Mpya ya Parole mkoani Kigoma iliyofanyika katika viunga vya Bangwe Beach mjini hapa.

Andengenye amewataka wajumbe hao wapya  kuepuka rushwa na upendeleo  ili kubaini na kutoa haki kwa wafungwa  wanaostahili, jambo ambalo litawaheshimisha  na kuifanya Jamii iuthamini utumishi wao na kuwapa ushirikiano.

Aidha Mkuu wa Mkoa amesisitiza matumizi sahihi ya Rasilimali chache zilizopo  ili wajumbe hao waweze kuifikia jamii na kutoa Elimu kuhusu kazi za bodi hiyo hali itakayoongeza uelewa  kwa wananchi kuhusu majukumu wanayoyatekeleza.

Kupitia risala kwa MgeniRasmi, ilibainishwa kuwa muitikio wa wananchi  katika kushirikiana na bodi iliyipita ulikuwa ni hafifu kutokana na uwepo wa changamoto ya mawasiliano ambapo wajumbe wa bodi walishindwa kuifikia jamii kwa lengo la kutoa Elimu.

Aidha imeelezwa kuwa iwapo kazi za bodi hiyo zitafanyika kwa ukamilifu, zitapunguza msongamano wa wafungwa magerezani  na kutoa fursa kwa wenye sifa  ya kupatiwa msamaha na bodi hiyo kumalizia sehemu ya vifungo vyao wakiwa nje ya Magereza  huku wakiendeleza majukumu yao ya kijamii uraiani.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa