• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

BIMA ZA AFYA MIA NNE ZATOLEWA KWA WAZEE MKOANI KIGOMA

Posted on: June 27th, 2023

Jamii mkoani Kigoma imeaswa kuendelea kuwatunza na kuwajali wazee na watu wengine wenye mahitaji maalum badala ya kuiachia Serikali na Taasisi za kiraia.

Akizungumza kwenye hafla fupi ya kukabidhi Bima za Afya kwa wazee zilizotolewa na Taasisi ya  Endeleza Wazee Kigoma (EWAKI), Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Kigoma Ntime Mwalyambi amesema jukumu la kuwatunza na kuboresha maisha ya wazee pamoja na watu wenye mahitaji maalum, lisiachwe mikononi mwa  Serikali na Taasisi binafsi bali kila mtu atambue anao wajibu wa  kulitazama na kulitunza kundi hilo muhimu kwa ustawi wa Taifa.

‘’Wazee ni tunu ya Taifa na ndiyo waliotufikisha hapa tulipo  hivyo ni jukumu la kila mmoja kuguswa na uwepo wa kundi hilo bila  kusukumwa katika kutoa huduma hitajika na kuwafanya waendelee kufurahia uwepo wao’’ amesema Mwalyambi.

Akizungumza baada ya zoezi hilo, Mwenyekiti wa Mtandao wa Mashirika ya Wazee Tanzania ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa EWAKI Bi. Clotilda Kokupima amesema kupitia utafiti walioufanya wamebaini hitaji la Matibabu ni changamoto inayoongoza katika mahitaji miongoni mwa wazee wengi mkoani Kigoma.

Kokupima amefafanua ‘’ tumedodosa masuala mbalimbali ikiwemo Usalama, hitaji la chakula, mavazi, usafi, nk, lakini tumeona kipaumbele ni suala la Afya, wazee wengi wanashindwa kumudu gharama za matibabu’’

Afisa Tawala wa Taasisi ya EWAKI Costa Alfred amesema kwa mwaka 2023, Taasisi hiyo imetoa Jumla ya Bima za Afya 400  zenyeThamani ya Shilingi Mil. 3 kwa ajili ya wanufaika 2400 ambao ni wazee pamoja na wategemezi wao.

Ameendelea kufafanua kuwa, mpango wa utoaji wa Bima hizo ni endelevu na utaendelea kutekelezwa kwa kipindi cha Miaka Miwili ambapo kwa Mwaka 2024 matarajio ni kutoa Bima kwa wanufaika 2400 ili kufikisha lengo walilojiwekea la kutoa Bima kwa wanufaika 4800.

Upande wake Afisa Maendeleo ya Jamii Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Anna Akyoo ameishukuru Taasisi hiyo na kutoa wito kwa Taasisi nyingine za Kiraia kusaidia katika kukabiliana na changamoto mbalimbali za kundi hilo.

‘’Awali nitoe Shukurani kwa Taasisi ya EWAKI, lakini niziombe Taasisis nyingine mkoani hapa kusaidida katika kukabili changamoto zinazowakabili wazee wetu mkoani Kigoma ili waweze kuishi kwa furaha na amani’’ amesisitiza Akyoo.

Baadhi ya wazee walioshiriki Hafla hiyo hawakusita kutoa Shukurani zao huku wakiiomba Serikali, Wadau pamoja na Jamii kwa ujumla kutowasahau huku wakisisitiza kuwa wao ndio waasisi wa Taifa na Maendeleo yaliyopo leo wamehusika kwa kiasi kikubwa kuhakikisha yanafikiwa.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa