• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

Benki ya Exim yapunguza tatizo la vitanda Hospitali ya Rufaa Maweni

Posted on: August 14th, 2018

Taasisi za kifedha, mashirika na watu binafsi wameombwa kuendelea na moyo wa uzalendo wa kusaidiana na Serikali katika jitihada za kuimarisha huduma bora za afya na maendeleo katika sekta mbambali Mkoani Kigoma.

Haya yamelezwa na Mkuu wa Wilaya ya Uvinza Mhe. Mwanamvua Mrindoka wakati akipokea vitanda 40 na magodoro yake kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Kigoma vilivyotolewa na Benki ya Exim tawi la Kigoma kwa hospitali ya Rufaa ya Maweni.

Mhe. Mrindoko amesema anaishukuru Benki ya Exim kwa kwa kujali afya za wateja wao, “najua mnatambua kuwa ili wateja wenu waendelee kuzalisha lazima wawe na afya njema, na nyinyi mmelona hili hadi mmechangia kusaidia upungufu wa vitanda katika hospitali yetu, naombeni hata mashirika mengi pamoja na watu binafsi tuendelee kushirikiana na Serikali katika kuboresha sekta mbalimbali Mkoani Kigoma”. Aliongeza Mhe. Mlindoko.

Awali, akitoa taarifa kwa Mkuu wa Wilaya, Kaimu Mganga wa Mkoa Dkt. Kiza Kiseka alisema kuwa Hospitali ya Maweni inapaswa kuwa na vitanda 300, hata hivyo ilikuwa na upungufu wa vitanda 132 ambapo baada ya Benki ya Exim kutoa vitanda na magodoro 40 sasa upungufu umeshuka na kufikia 92. Vitanda vilivyotolewa na Benki ya Exim vitasaidia kupunguza adha ya wagonjwa kulala wawili katika kitanda kimoja.

Naye Meneja wa Benki ya Exim tawi la Kigoma Bw. Deo Makwaya amesema taasisi katika kuadhimisha miaka 20 ya kuwa kujali jamii ilipanga kuiunga mkoano sekta ya Afya kwa kutoa vitanda 500 kwa Mwaka huu katika hospitali 12 hapa Tanzania ambapo vitanda hivyo vimekuwa vikitolewa kila Mwezi.

Benki ya Exim pamoja na kujiwekea malengo haya ya mwaka mmoja kugawa vitanda 500, bado tutaendelea kujipanga kutoa na kuchangia si vitanda tu bali hata mahitaji mengine katika sekta ya afya, kwani tunaelewa bado hospili zetu zinahitaji mambo mbalimbali ya kuboresha afya.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa