• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

AWESO AWAFUNDA WATUMISHI WIZARA YA MAJI.

Posted on: July 26th, 2022

Waziri wa Maji Mhe. Juma Aweso (Mb). Amefanya kikao Kazi kazi, ambapo amekutana na Wakuu wa Idara na Vitengo vilivyopo chini ya Wizara na kuwaagiza kuhakikisha  Miradi ya Maji inakamilika kwa wakati na kwa viwango vinavyotakiwa huku akisisistiza kuwa, hatosita kuchukua hatua pale atakapobaini uzembe katika utendaji kazi.

Kupitia Kikao hicho kilichofanyika mkoani hapa, Waziri Aweso amesema maeneo mengi nchini miradi ya Maji inashindwa  kukamilishwa kwa sababu zilizo ndani ya Mamlaka za kiutendaji huku Serikali ikiwa imeshapanga Bajeti na kupeleka Fedha katika maeneo hayo. 

Amewaasa watumishi wa Wizara hiyo wabadilike kiutendandaji na kufanya kazi kwa ushirikiano huku akisisitiza Wakala wa Maji na usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) kuboresha utendaji kazi wao kutokana na uwepo na malalamiko mengi  katika maeneo ya vijijini.

Amesema wakazi wa Mkoa wa Kigoma wanapaswa kupata huduma ya Maji kwa utoshelevu kutokana na uwepo wa ziwa Tanganyika, ambalo linaweza tumika kama chanzo cha uhakika cha upatikanaji wa huduma hiyo.

Awali Katika salamu zake za ukaribisho kwa Waziri wa Maji, Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Thobias Andengenye, amesema changamoto kubwa ya ufanisi katika miradi ya Maji mkoani Kigoma ni ukosefu wa Umeme wa kutosha hali  inayotatiza usambazaji wa huduma hiyo kwa Wananchi.

Aidha amesisitiza wananchi kutunza miradi ya Maji kwa kufanyia ukarabati dosari zitakazojitokeza badala ya kusubiri Serikali ili kuruhusu Bajeti iliyopangwa  kutekeleza miradi mingine kwenye maeneo yenye uhitaji.

Kwa upande wao baadhi ya Wabunge wa Mkoa wa Kigoma, wamemshukuru Waziri kwa utendaji  kazi wake huku wakishauri Wizara hiyo ione namna bora ya kutumia fursa ya uwepo wa vyanzo vya Maji vya Ziwa Tanganyika na Mto Malagarasi katika kutatua changamoto za huduma ya Maji mkoani hapa.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • JESHI LA UHAMIAJI KIGOMA LAPONGEZWA KATIKA KUKABILIANA NA WAHAMIAJI HARAMU

    June 23, 2025
  • MRADI WA BARABARA MWANDIGA KAGUNGA AWAMU YA KWANZA WAFIKIA 95%

    June 21, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA SAMIA WAANZA KAMBI YA MATIBABU KIGOMA

    June 16, 2025
  • MRADI WA UHIFADHI MAZINGIRA WAZINDULIWA KIGOMA

    May 15, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa