• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

ANDENGENYE: TUMIENI TEKNOLOJIA KUONGEZA UZALISHAJI

Posted on: August 9th, 2023

Jamii imeshauriwa kutumia mbinu na Maarifa mapya  pamoja na kujiimarisha katika matumizi ya Teknolojia  ili kuongeza  tija  katika  uzalishaji mali na kujiletea  Maendeleo.

Wito huo umetolewa  na  Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Thobias Andengenye alipozungumza kwenye  kilele cha Maonyesho  ya Sikukuu  ya wakulima  nane nane  kanda ya Magharibi yaliyofanyika Mkoani Tabora.

Amesema jamii inapaswa kutumia zana za kisasa katika kuendesha shughuli mbalimbali za uzalishaji mali ikiwemo  matumizi ya Mashine pamoja na kujiimarishia maarifa  kiutendaji , ili kuongeza kiwango cha uzalishaji  pamoja na kupandisha thamani ya bidhaa zitakazozalishwa .

Ameeleza kuwa serikali ya Awamu ya Sita imedhamiria kukuza Sekta ya Kilimo , Mifugo na Uvuvi kwa kuanzisha  majukwaa ya uwekezaji , kuongeza Bajeti za Wizara hizo pamoja na kutekeleza miradi ya kimkakati kwenye nyanja za kiuchumi kwa lengo la kuzidi kuifunga Kanda ya Magharibi.

‘Nimefurahishwa na uwepo wa ongezeko la  Idadi ya vikundi vinavyojihusisha  na uboreshaji wa  Mnyororo wa Thamani kwa Mazao  ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi  hivyo msisiste  kutumia fursa ya uwepo wa Masoko ya ndani na nje ya nchi kujinufaisha na kujiimarisha  kiuchumi ’ amesisitiza Andengenye.

Aidha kiongozi huyo ametoa Rai kwa wakulima kuepuka hasara kwa kuendelea kuviamini na kuvitumia vyama vya Ushirika (AMCOS) kuuza mazao kwa bei zenye tija ili kufikia malengo ya kimaendeleo waliyojiwekea.

Kadhalika Andengenye amezipongeza Taasisi pamoja na watu binafsi waliojitokeza  na kushiriki katika maonyesho hayo na kuwahimiza  kuendelea kutoa elimu na hamasa kwa wananchi ili kukuza sekta  za Kilimo, Mifugo na uvuvi ndani na nje ya Mikoa ya Tabora na Kigoma.

Kilele cha maadhimisho hayo kimefanyika katika viwanja vya ipuli Manispaa yaTtabora na kuhudhuriwa na kaimu Mkuu wa Mkoa Tabora  Peter Serukamba, Mwenyekiti wa CCM (M) Tabora , Makatibu Tawala  (M) Tabora na Kigoma , Wakuu wa wilaya , wenyeviti na wakurugenzi wa halmashauri za wilaya Tabora na Kigoma,  wawakilishi wa wizara za kilimo, mifugo na uvuvi , watendaji kutoka Ofisi za wakuu wa mikoa na wilaya Kanda ya Magharibi, Sekta binafsi, wakulima  pamoja na wajasiriamali mbalimbali katika mikoa hiyo.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • RC ANDENGENYE AZINDUA RASMI ZOEZI LA UGAWAJI VYANDARUA KIMKOA

    May 27, 2025
  • JAMII INAPASWA KUZINGATIA CHANJO KUJILINDA NA MARADHI

    May 20, 2025
  • MRADI WA UHIFADHI MAZINGIRA WAZINDULIWA KIGOMA

    May 15, 2025
  • RC ANDENGENYE AKABIDHI VITENGO VITENGO VYA LISHE MKOA NA WILAYA UVINZA

    May 09, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa