• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

1,333,911 KUJIANDIKISHA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KIGOMA

Posted on: October 11th, 2024

Jumla ya Wapiga kura 1,333,911 wanatarajiwa kuandikishwa kwenye Daftari la Wapigakura kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa mkoani Kigoma unaotarajiwa kufanyika Oktoba 27, 2024 nchini.

Akizungumza wakati wa Uzinduzi wa Zoezi hilo kwaniaba ya Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Katibu Tawala Mkoa wa Kigoma Mhe. Hassan Rugwa amesema jumla ya vituo 2252 vitatumika katika zoezi hilo kimkoa huku akisisitiza kuwa maandalizi ya zoezi hilo yamekamilika na kutoa wito kwa wakazi kujitokeza kujiandikisha ili kutopoteza haki yao ya kuchagua viongozi wanaowataka ili kuimarisha Demokrasia nchini.

Amesema Serikali ya awamu ya Sita imedhamiria kuimarisha misingi ya demokrasi ili wananchi waweze kupata viongozi bora watakaowajibika kwao katika kuhakikisha wanafikia malengo yao ikiwemo kusimamia mipango ya serikali kwa nia ya kuwaletea wananchi Maendeleo.

Upande wake Shehe Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Alhaji Hassan Kiburwa amesema kila mwananchi anapaswa kujiandikisha ili kupata kiongozi ambaye atapatikana kupitia maamuzi ya wananchi husika na kuepuka kuamuliwa kupata kiongozi wasiyemtaka.

Amewataka wakazi mkoani Kigoma kuhakikisha wanachagua viongozi wenye maadili mema na wachapakazi watakaomsaidia Mhe. Rais kusimamia shughuli za maendeleo na kutanguliza maslahi ya wanaowaongoza.

Padre George Mhanuka ambaye ni Paroko Msaidizi Parokia ya Kigoma amesema uchaguzi wa viongozi katika ngazi mbalimbali nchini huchangia kuimarisha ustawi wa Jamii, Amani na Maendeleo kwa wakazi.

Amesema ni haki na wajibu wa kila mtanzania kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura ili kutimiza matakwa ya kisheria ya nchi yanayowapa fursa wananchi kuchagua kiongozi kuendana na mahitaji yao.

Upande wake Bilantanye Bakeyemba Mkazi wa Manispaa ya Kigoma Ujiji ameonesha kuridhishwa na maandalizi na utekelezaji wa zoezi hilo unaofanywa na serikali mkoani Kigoma.

Uzinduzi huo umehudhuriwa na Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Dkt. Rashidi Chuachua, Viongozi wa dini pamoja na viongozi wa vyama mbalimbali vya Siasa.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa