• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

World vision Tanzania yakabidhi Miundombinu ya Afya Kigoma

Posted on: February 23rd, 2021

Muu wa Mkoa wa Kigoma Thobias Andengenye amelipongeza Shirika la World Vision kwa kutekeleza mradi wa kujenga miundombinu ya huduma za Afya kwa kujenga majengo ya Upasuaji na Wodi za Kinama, pamoja na na vifaa tiba katika Wilaya za Kakonko, Kibondo na Kasulu Mkoani Kigoma.

Andegenye amesema hayo wakati alipozindua rasmi majengo ya vyumba vya upasuaji na wodi ya wazazi katika kituo cha Afya Kagezi Wilayani Kibondo, uzinduzi huo umefanyika ukiwa unawakilisha uzinduzi wa vituo vingine vya Gwanumpu Wilaya ya Kakonko na Kimwanya Wilaya ya Kasulu.

Mradi wa Sustain Kigoma ni mradi uliotekelezwa kwa miaka minne Mkoani Kigoma ambao lengo lake lilikuwa kuboresha Afya ya uzazi, vijana na watoto  kwa kuboresha mifumo ya upatikanaji na matumizi ya huduma bora za afya ya uzazi, vijana na watoto katika mkoa wa Kigoma.  .

Mkuu wa Mkoa amesema Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Dkt. John pombe Magufuli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani kwa miaka mitano iliyokwisha ukiachilia mbali sekta nyingine Serikali imewekeza fedha nyingi sana katika kuboresha Miundombinu ya Afya kwa kujenga zahanati, Vituo vya Afya, na Hospitali ili kurahisisha upatikana wa huduma bora kwa urahisi na gharama nafuu kwa Wananchi wa Mkoa wa Kigoma na Tanzania kwa Ujumla.

Ninafurahi kuona kwamba World vision mmeonesha juhudi kubwa ya kuunga mkono nia ya Serikali katika kushiriki kwenye uimarishaji wa Miundombinu ya huduma za Afya kwa kutujengea Majengo ya Upasuaji na Wodi za Kinama. Hizi ni jitihada kubwa sana katika kusaidia Mkoa wa Kigoma kufikia lengo la kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi pamoja na vile vya watoto wadogo.

Amewaagiza Viongozi wa Serikali na Watendaji wakuu kwenye Mkoa na mamlaka za Serikali za Mitaa kuakikisha wanashirikiana ili kuona miradi hii inatunzwa na kulindwa kwa manufaa ya umma, “World Vision wameshamaliza kazi yao, sula la utunzaji kwa matumizi endelevu ni letu sisi watumiaji. Hivyo usimamizi wa karibu wa miradi hii kwenye maeneo yenu ni suala la Msingi sana” alisisitiza Mkuu wa Mkoa.

Ameongeza kuwa fedha zilizotumika kutekeleza miradi hiyo ni fedha ya ziada kutoka kwa Wananchi wa Canada, hivyo ni vema kuona thamani ya upendo wao kwa kulinda na kutunza majengo, na vifaa vyote vilivyonunuliwa kwa ajili ya miradi hii.

 Aidha nipende kutoa wito kwa Mashirikia mengine Mkoani Kigoma kuendelea kusaidi na kuunga mkono juhudi mbalimbali za Serikali siyo tu katika Afya bali hata katika maeneo mengine kama vile Elimu, Maji, Kilimo na maeneo mengine ambayo yanamgusa mwananchi moja kwa moja

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • RC SIRRO AZINDUA ZOEZI LA CHANJO NA UTAMBUZI WA MIFUGO KIMKOA

    July 03, 2025
  • JESHI LA UHAMIAJI KIGOMA LAPONGEZWA KATIKA KUKABILIANA NA WAHAMIAJI HARAMU

    June 23, 2025
  • MRADI WA BARABARA MWANDIGA KAGUNGA AWAMU YA KWANZA WAFIKIA 95%

    June 21, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA SAMIA WAANZA KAMBI YA MATIBABU KIGOMA

    June 16, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa